SWALI:
Bibi na Bwana wameelewana kutumia
koil kukinga kupata mtoto kwa mda. Kisha bwana ameamua koil bibi akaitowe. Bibi
akamwambia bwana haya. Ikapita mdaa. Bwana akamuuliza bibi kama ile koil
ameitoa? Bibi akadaganya mumewe kwamba koil kesha itowa. Baadae siku kadha
bwana akamwambia bibi nafikiri kua koil hujaitoa umenidaganya. Na kama
umenidaganya jua nishakuwacha. Bibi ana watoto watatu. WA miaka mitatu, na
miwili na mmoja. Kazi ya ulezi pekee yake. Sababu bwana anafanya kazi kuazia
jumatatu hadi ijumaa. Swala langu ni, jee huyu mwanake kishawachika?
Swala la pili kwa kua anahakika kua anatumia koil kutokupata mimba jee. Jee
akiachika anakaa edaa? Insha’Allah nitapata majibu ya
kuniridhisha. Asalaam aleikum.