Thursday, May 18, 2017

Application for Admission into Non-Degree Programs 2017/2018


Sokoine University of Agriculture (SUA) invites applications from qualified Tanzanians and non-Tanzanians to certificate and diploma programs offered by Sokoine University of Agriculture for academic year 2017/2018. Applicants should apply directly to SUA by filling in online application forms or physically submit the forms to the admission office, READ MORE....!

Thursday, May 11, 2017

TANGAZO LA KUJIUNGA NA VYUO VYA KATI MWAKA WA MASOMO 2017/2018


TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UDAHILI WA WANAFUNZI WA ASTASHAHADA NA STASHADA KATIKA PROGRAMU MBALIMBALI KWA MWAKA WA MASOMO 2017/2018

Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) ni chombo kilichoanzishwa kwa sheria ya Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi, Sura 129, ili kusimamia na kuratibu utoaji wa mafunzo ya elimu ya ufundi nchini. Sheria hii inazitaka Taasisi zote zinazotoa elimu ya ufundi kusajiliwa kabla ya kuanza kuendesha mafunzo yoyote. Baraza pia huidhinisha mitaala kabla haijaanza kutumika. Hivyo taasisi zote haziruhusiwi kuanza kutoa mafunzo yoyote bila kibali maalumu kutoka Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE).

Wednesday, May 10, 2017

TANGAZO LA KAZI

Kituo cha utafiti wa kilimo Mtwara (ARI - Naliendele) kupitia Cashew Research Programme kinatangaza nafasi za kazi kama ifuatavyo; Agricultural Research Officer (1 Post), Agricultural Field Assistant (11 posts), Personal secretary (1 post), Mechanics (2 posts) na Motor driver (1 post).

Kwa maelezo zaidi, sifa, deadline na jinsi ya kuapply BOFYA HAPA....!.

Monday, April 24, 2017

SOIL FIELD ANALYSIS

It is very important to test the soil before any use, especially for landscaping in horticulture. Here is the simple field soil analysis click here to download. You are not required to look for laboratory at field condition.

Monday, December 19, 2016

UMUHIMU WA KUCHUNGA WAKATI



Makala hii muhimu itagusia sana umuhimu wa Muislamu kuchunga muda wake na kutokuuangamiza kwa kufanya mambo ya kipuuzi ambayo hayatomsaidia si duniani wala Akhera. Waislamu wengi tunashinda siku kutwa na kujishughulisha na mambo ya kipuuzi ambayo mengi katika hayo hayamridhishi Allaah.
Kwanza kabla ya kuendelea tungelipenda kurudi nyuma kidogo tukumbushane lengo la sisi kuwa hapa duniani ni lipi, kwa nini MwenyeZimungu ametuumba. Allaah anasema katika Qur-aan:

”Nami sikuwaumba majini na watu ila waniabudu Mimi”

Thursday, April 28, 2016

TABIA NJEMA


Sifa njema zote Anastahiki Allaah Mola wa viumbe wote na rehma na amani zimfikie Mtume wetu Muhammad (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam), Jamaa na Swahaba zake wote.
Hivi unajua ndugu yangu Muislam, Allaah Akulinde na Akuhifadhi, kwamba 'amali iliyo bora zaidi na inayopendwa na Allaah Mtukufu na Mtume wake ni tabia njema?
Katika Hadiyth sahihi: Kutoka kwa Sa'ad bin Abiy Waqqaas (Radhiya Allaahu 'anhu) amesema Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam): "Hakika Allaah Anapenda tabia njema na Anachukia tabia mbaya"

Monday, September 28, 2015

ASILI YA ROHO (NAFSI) ZETU

Kuna umuhimu mkubwa wa kuzungumzia kuhusu roho (nafsi) zetu ambazo zinahitaji kutoharishwa  ili ziwe  katika hali   ya asili yake, (kama zilivyokuwa kabla ya kupulizwa katika mwili wa binaadamu)   na ambazo ndio zitakuwa sababu ya kufaulu  au kufeli kwetu duniani na akhera.  
((وَيَسْأَلُونَكَ عَنِ الرُّوحِ قُلِ الرُّوحُ مِنْ أَمْرِ رَبِّي وَمَا أُوتِيتُم مِّن الْعِلْمِ إِلاَّ قَلِيلاً))
((Na wanakuuliza (ewe Muhammad)  khabari za Roho. Sema: Roho ni katika mambo ya Mola wangu Mlezi. Nanyi hamkupewa katika ilimu ila kidogo tu))   [Al-Israa::85]