Sokoine University of Agriculture
(SUA) invites applications from qualified Tanzanians and non-Tanzanians
to certificate and diploma programs offered by Sokoine University of
Agriculture for academic year 2017/2018. Applicants should apply
directly to SUA by filling in online application forms or physically
submit the forms to the admission office, READ MORE....!
Thursday, May 18, 2017
Thursday, May 11, 2017
TANGAZO LA KUJIUNGA NA VYUO VYA KATI MWAKA WA MASOMO 2017/2018
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UDAHILI WA WANAFUNZI WA ASTASHAHADA NA STASHADA KATIKA PROGRAMU MBALIMBALI KWA MWAKA WA MASOMO 2017/2018
Baraza la
Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) ni chombo kilichoanzishwa kwa sheria
ya Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi, Sura 129, ili kusimamia na
kuratibu utoaji wa mafunzo ya elimu ya ufundi nchini. Sheria hii
inazitaka Taasisi zote zinazotoa elimu ya ufundi kusajiliwa kabla ya
kuanza kuendesha mafunzo yoyote. Baraza pia huidhinisha mitaala kabla
haijaanza kutumika. Hivyo taasisi zote haziruhusiwi kuanza kutoa mafunzo
yoyote bila kibali maalumu kutoka Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
(NACTE).
Wednesday, May 10, 2017
TANGAZO LA KAZI
Kituo
cha utafiti wa kilimo Mtwara (ARI - Naliendele) kupitia Cashew Research
Programme kinatangaza nafasi za kazi kama ifuatavyo; Agricultural
Research Officer (1 Post), Agricultural Field Assistant (11 posts),
Personal secretary (1 post), Mechanics (2 posts) na Motor driver (1
post).
Kwa maelezo zaidi, sifa, deadline na jinsi ya kuapply BOFYA HAPA....!.
Monday, April 24, 2017
SOIL FIELD ANALYSIS
It is very important to test the soil before any use, especially for landscaping in horticulture. Here is the simple field soil analysis click here to download. You are not required to look for laboratory at field condition.
Monday, December 19, 2016
UMUHIMU WA KUCHUNGA WAKATI
Makala hii muhimu itagusia sana umuhimu wa Muislamu
kuchunga muda wake na kutokuuangamiza kwa kufanya mambo ya kipuuzi ambayo
hayatomsaidia si duniani wala Akhera. Waislamu wengi tunashinda siku kutwa na kujishughulisha
na mambo ya kipuuzi ambayo mengi katika hayo hayamridhishi Allaah.
Kwanza kabla ya kuendelea tungelipenda kurudi nyuma
kidogo tukumbushane lengo la sisi kuwa hapa duniani ni lipi, kwa nini
MwenyeZimungu ametuumba. Allaah anasema katika Qur-aan:
”Nami sikuwaumba majini na watu ila waniabudu Mimi”
Thursday, April 28, 2016
TABIA NJEMA
Sifa njema zote Anastahiki
Allaah Mola wa viumbe wote na rehma na amani zimfikie Mtume wetu Muhammad
(Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam), Jamaa na Swahaba zake wote.
Hivi unajua ndugu yangu
Muislam, Allaah Akulinde na Akuhifadhi, kwamba 'amali iliyo bora zaidi na
inayopendwa na Allaah Mtukufu na Mtume wake ni tabia njema?
Katika Hadiyth sahihi: Kutoka kwa
Sa'ad bin Abiy Waqqaas (Radhiya Allaahu 'anhu) amesema Mtume (Swalla
Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam): "Hakika Allaah Anapenda
tabia njema na Anachukia tabia mbaya"
Monday, September 28, 2015
ASILI YA ROHO (NAFSI) ZETU
Kuna umuhimu mkubwa wa kuzungumzia kuhusu roho (nafsi) zetu ambazo zinahitaji
kutoharishwa ili ziwe katika hali ya asili yake, (kama
zilivyokuwa kabla ya kupulizwa katika mwili wa binaadamu) na ambazo
ndio zitakuwa sababu ya kufaulu au kufeli kwetu duniani na
akhera.
((وَيَسْأَلُونَكَ
عَنِ الرُّوحِ قُلِ الرُّوحُ مِنْ أَمْرِ رَبِّي وَمَا أُوتِيتُم مِّن الْعِلْمِ
إِلاَّ قَلِيلاً))
((Na wanakuuliza (ewe Muhammad) khabari
za Roho. Sema: Roho ni katika mambo ya Mola wangu Mlezi. Nanyi hamkupewa katika
ilimu ila kidogo tu)) [Al-Israa::85]
Subscribe to:
Posts (Atom)

