Sunday, January 5, 2014

SIFA NNE ZA KUCHAGUA MKE MWEMA


Sifa Nne Za Kuchagua Mke: Mali, Nasaba, Uzuri Na Dini

عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ (رضي الله عنه) عَنْ النَّبِيِّ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ قَالَ: ((تُنْكَحُ الْمَرْأَةُ لأَرْبَعٍ: لِمَالِهَا, وَلِحَسَبِهَا, وَجَمَالِهَا, وَلِدِينِهَا. فَاظْفَرْ بِذَاتِ الدِّينِ تَرِبَتْ يَدَاكَ)) متفق عليه

Imepokelewa kutoka kwa Abu Hurayrah (رضي الله عنه) kwamba Mtume (صلى الله عليه وآله وسلم) amesema: ((Mwanamke huolewa kwa sababu nne; Kwa mali yake, nasaba yake [ukoo], uzuri wake na Dini yake. Tafuta mwenye Dini uwe salama)).[1]  (yaani usiharibikiwe katika maisha yako)

 Mafunzo Na Hidaaya:
  1. Uislamu umetoa uongofu katika kila jambo hata katika kutafuta mke mwema.